Posts

Saikolojia inavyotibu tatizo la mwanaume kuwahi kufika kileleni!

Image
Saikolojia inavyotibu tatizo la mwanaume kuwahi kufika kileleni! Miongoni mwa matatizo makubwa kabisa yanayowakabili wanaume katika suala la kujamiiana ni kufika kileleni mapema. Takwimu zisizo rasmi zinaonesha kuwa, wanaume saba kati ya kumi wanakasoro hii. Malalamiko yanayotolewa na baadhi yao yanaonesha kwamba, muda wa kumaliza tendo huwa kati ya nusu dakika na dakika tatu kwa tendo la kwanza, huku wengine wakimaliza hamu katika hatua za awali tu za hamasa ya kimahaba. Hata hivyo, kumetolewa maelezo na nafuu ya ongezeko la muda katika tendo la pili na kuendelea, ingawa bado suala la kutangulia kufika kileleni kabla ya wanawake limekuwa likiwahuzunisha wanaume wengi. Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanaume anapowahi kufika kileleni kabla ya mwenzake humsababishia kero mwanamke anayeshiriki naye tendo, kwani humwacha njia panda pasipokuwa na hitimisho la raha ya kujamiiana. Hali hii inatokana na maumbile ya uume wa mwanaume ambao husinyaa mara baada ya kuhitimis...

Athari za kujichua kwa wanaume na wanamke waliopo kwenye mahusiano

Image
Athari za kujichua kwa wanaume na wanamke waliopo kwenye mahusiano Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume. Miongoni  mwa  sababu  hizo  ni  pamoja  na  maradhi  kisukari, presha,shinikizo  la  damu, moyo, figo, matatizo  kwenye  mishipa  ya  ubongo  &  mishipa  ya  uti  wa mgongo, matatizo  kwenye  mishipa itumikayo  kusafrisha damu  mwilini, maradhi  ya  ngiri,  pamoja  na   upigaji  punyeto  kwa  muda  mrefu. Katika  makala  yetu  ya  leo, tutaangalia  namna   suala  la  upigaji...

Sababu za wapenzi kutokuwa sawa katika tendo la ndoa

Image
Sababu za wapenzi kutokuwa sawa katika tendo la ndoa Leo tunazungumzia jinsi tatizo hili la kutokuwa sawa katika tendo la ndoa linavyotokea. Tatizo hili tunaliweka katika makundi manne. Kwanza ni kutokuwa na hamu na hisia ya tendo la ndoa au kitaalamu tunaita Sexual Desire Disorder. Hapa hamu na hisia zinaweza zisiwepo kabisa, yaani usiwe kabisa na hamu au hisia ya tendo. Hii ni hali ya jumla lakini, wengine hutokewa na hali ya kupoteza hamu na hisia kwa mpenzi aliye naye tu ila akienda kwa mwingine hufurahia, hali hii inaweza kutokea kwa mwanaume au mwanamke. Mtu pamoja na kuwa katika hali hii, lakini inaweza kutokea mtu akawa na hamu kidogo sana au ikawa inatokea kwa vipindi fulanifulani baadaye ikapotea. Hii inatokana na upungufu wa vichocheo vya Estrogen kwa wanawake tu na Testosterone kwa wote wanaume na wanawake. Vyanzo vingine katika hili ni umri mkubwa hasa kwa wazee, uchovu wa mwili kutokana na kazi au ulevi, hali ya ujauzito, matumizi ya baadhi ya madawa na...

Vijue vyakula hatari kwa kupunguza nguvu za kiume

Image
Vijue vyakula hatari kwa kupunguza nguvu za kiume   Wanaume wanapaswa kufahamu aina ya vyakula ambavyo si rafiki kwao katika kuongeza kiwango cha homoni ya kiume iitwayo testosterone inayochochea sifa ya mwanaume yaani kuwa na nguvu za kiume. Baadhi ya vyakula visivyofaa kuliwa na mwanaume aliyetaka kuwa na nguvu za kiume ni vile vyenye asili ya homoni ya kike iitwayo estrogen. Hivyo sio kila vyakula vinafaa kwa mwanaume eti ilimradi tu vyakula hivyo vinasaidia kujenga mwili au kujaza tumbo wakati mtu akiwa na njaa. Vyakula visivyofaa kabisa kuliwa na mwanaume kutokana na vyakula hivyo kupunguza homoni ya testosterone ni hivi vifuatavyo: Mbegu za Flax (Flax seeds):  vyakula vinavyotengenezwa kutokana na unga wa mbegu za flax vimekuwa vikisifiwa kwa kuwa Omega-3 fats ambayo ni muhimu katika miili yetu. Hata hivyo mbegu za flax ni mbegu maarufu kwa kuwa na estrogen ambayo ni sawa kabisa na homoni ya estrogen iliyoko katika miili ya wanawake. Flax seeds zina k...

Jinsi ya kuthibitisha kama mtu anakupenda kwa dhati

Image
Jinsi ya kuthibitisha kama mtu anakupenda kwa dhati Ukweli ni kwamba, Hakuna njia kuu ya kukuwezesha kuthibitisha moja kwa moja kama mtu anakupenda kwa dhati, lakini zipo ishara chache za kitabia zitakazoweza kukusaidia kutambua kilichopo katika mawazo ya mpendwa wako. Ukitaka kujua kama unapendwa na mtu unayempenda zitazame tabia zake juu yako. Ingawa upendo una mana tofauti kwa kila mmoja wetu, zipo njia nyingi zinazoweza kukueleza kama kweli mtu anakupenda kwa dhati, Tena zinazoweza kukupa tofauti ikiwa kama mtu anakupenda kwa dhati au amekutamani tu! Zifuatazo ni mbinu za kuthibitisha kama mtu anakupenda kwa dhati; MBINU YA KWANZA:  Angalia Anavyofanya. Angalia kama anaweza kutenda mambo kikawaida unapokuwa naye. Moja ya sehemu muhimu katika mapenzi ni kuwa muwazi kwa Yule umpendae. Kama unapokuwa naye umeanza kuona baadhi ya tabia au mambo fulani ambayo huwa hayaoneshi hadharani, ujue kapenda huyo! Kwa mfano, kama mpenzi wako huwa ni mpole na mta...

Mazoezi ya kuufanya uume usimame kwa muda mrefu na uchelewe kufika kileleni mapema

Image
Mazoezi ya kuufanya uume usimame kwa muda mrefu na uchelewe kufika kileleni mapema Misuli inayohusika na nguvu za kiume na kuwahi kumaliza wakati wa tendo la kufanya mapenzi huitwa  “puboccugeous Muscle”  maarufu inajulikana kama  Pelvic Muscle. Misuli hii inapokuwa dhaifu, uwezo wa kusimamisha uume kwa muda mrefu na kuchelewa kukojoa wakati wa kufanya mapenzi huwa mdogo. Zoezi lenye uwezo wa kuongeza nguvu ya misuli ya uume, linaloweza kuufanya uume kusimama kwa muda mrefu, bila kusinyaa wala kuchoka, hili ni zoezi kama mfano wa zoezi lolote la kunyanyua vyuma vizito ambalo husaidia misuli kuinuka, kukua na kuongezeka ukubwa na nguvu. Zoezi la kwanza Wataalam wa mambo ya mapenzi wamethibitisha zoezi la misuli ya uume ambalo ni sehemu ya “physiotherapy”ndiyo hurudisha uwezo wa nguvu za kiume kiasili, zoezi hili halina madhara yoyote kiafya na linaweza kufanyika wakati wowote. Jinsi ya kufanya zoezi hili Ukiwa umekaa popote fanya zoezi hili asubuhi...

Wapendanao fanyeni haya mfurahie msisimko wa tendo la ndoa

Image
Wapendanao fanyeni haya mfurahie msisimko wa tendo la ndoa Tendo la ndoa linaleta maana kama wanaolitenda wote watalifurahia. Baada ya tendo, kila mmoja awe amekata kiu yake. Kinyume chake, tendo linapoteza maana. Mmoja akiwa anainjoi na mwingine hainjoi, yule ambaye hainjoi hujikuta akiingia kwenye mawazo mazito. Anatamani na yeye ainjoi kama mwenzake lakini bahati mbaya kila siku yeye anajikuta akiambulia maumivu. Mhusika asiyeinjoi huwa anaegemea kwenye dhana mbili; kuna ambaye hainjoi ana uwezo wa kumwambia mwenzake kwamba hainjoi lakini kuna mwingine hawezi. Anakuwa mzito kusema kwamba siinjoi. Badala yake anamueleza shosti au rafiki yake. Akikutana na rafiki mhuni, atamshauri achepuke ili aweze kuinjoi mapenzi. Kama upo kwenye uhusiano na una dhana hiyo ya pili, unapaswa kubadilika. Jitahidi kumueleza mwenzako kwamba haufurahii tendo. Kwa kumwambia, mtapata suluhu ya pamoja na hakika mtainjoi. Kwa msingi huo nilioanza nao, nalazimika leo kukueleza wewe m...